UtandaRhymes

Waiting for “Django”

“Servants, be subject to your masters with all fear; not only to the good and gentle, but also to the forward.” 1 Peter 2:18 Necro’s song titled ‘White Slavery‘ contrasts with what we usually equate slavery with. The song talks about modern day slavery that still upholds Willie Lynch’s legacy of cruelty that we’re reminded [...]

Leave a comment
Artist of The Week, Visual

Nikki Mbishi ndani ya FidStyle Friday

Hiki ni kipindi cha 30 tangu maneno “FidStyle Friday” yalipoanza kusambaa kwenye mtandao. Katika kusheherekea hatua hii muhimu, ni vyema kuangalia kilichokuwa kinajiri awali. Nikki Mbishi alikuwa ni msanii wa kwanza kualikwa, na anaalikwa tena ili kutumia darubini yake kuangalia safari ilipoanzia. Kama kawaida, Nikki hajaharibu; anafungua kwa Sauti ya Jogoo kuamsha jamii nzima ya [...]

17 Comments
Artist of The Week, One on One, Visual

One on One: Raiza Biza

Raiza Biza — coming from Rwanda, currently based in New Zealand — who has been dreaming something lately and getting prepared to share the stage with Blu and Exile very soon, dropped by to chop it up with TZhiphop. Composed and thoughtful, Raiza Biza gives us a glimpse of his musical journey, on how he [...]

4 Comments
Audio, Visual

All Arusha Cypher #2

Baada ya kilinge cha kwanza, Wanene Ent. wanakuletea cha pili chenye wasanii wafuatao: Daz Naledge, Chabba, JCB (Watengwa) na  Boywonda (FBG).

3 Comments
Artist of The Week, Visual

Kalapina ndani ya FidStyle Friday

Kikosi cha Mizinga ni mojawapo ya makundi muhimu mno ambayo yamekuwa yakiendelea kuwa na sauti muhimu kwenye medani ya Hip Hop Tanzania, huku wakiwa wameegemea zaidi kwenye kuwasilisha vilio vya watu wa tabaka la chini dhidi ya “wanyonyaji”.  Kikiongozwa na Kalapina, Kikosi  kimeendelea kujikusanyia wafuasi — tofauti na mashabiki — nchini na nchi za jirani, [...]

2 Comments
UtandaRhymes

U.N.I.T.Y.

Remember Queen Latifah’s joint U.N.I.T.Y.? I doubt Latifah had Pan-Africanism and Ubuntu ideologies in mind, comparing to the themes in “Africa Must Wake Up”, “Amka Mtanzania” and “Arab World Unite”. The calling is the same: to wake up and unite, because “no matter where you from, we’re all distant relatives”. But how easy is Nas’s [...]

2 Comments
Audio, DJ's Booth

Exclusives Mix 10

Hii ni mix ya aina yake. Nakuonjesha mawe yaliyomo kwenye kazi za wasanii zilizoingia sokoni hivi karibuni. Kama ulikuwa bado hujazipata, basi bila shaka utajitahidi kuzitafuta baada ya kusikia sauti zinazobeba mistari hii… Hatuna budi kutoa pongezi kwa kikosi kizima cha TamaduniMuzik, na tujitahidi kuwapa moyo kwa kununua nakala halisi za kazi zao! Kurasa nyingine: [...]

4 Comments
News

S.U.A. kuandaa Tamasha la Hip Hop

Juhudi na harakati za mradi wa S.U.A. (Saving Underground Artists) unaoendelea Kijenge Juu Arusha zimeanza kuzaa matunda, hasa katika upande wa kuwafikia vijana wengi zaidi kulinganisha na hapo awali. S.U.A. wakishirikiana na Jambo Festival wanakuletea mashindano ya “freestyling” na “deejaying” yatakayokuwa yakifanyika kwenye uwanja wa wazi AICC club, Arusha. Tukio hili la siku tano litaanza [...]

2 Comments
Artist of The Week, Visual

JCB ndani ya FidStyle Friday

Baada ya Cliff Mitindo kuwakilisha Migo Migo, wiki iliyofuata ilikuwa ni ya mkongwe JCB. Wanaomfahamu vizuri JCB nadhani watashauri ujiandae kupokea hadithi za kitaa kama zilivyo. Kama Mejah wa Wachata Crew anavyosema, JCB amekuwa akilinda ngome ya Kijenge Juu toka mwaka 1996, akihakikisha familia ya Watengwa inaendelea kufanya kile kinachotakikana — kuwakilisha mitaa, hasa Kijenge [...]

1 Comment
Uchambuzi, Uncategorized

“Hip-Hope” na Maneno Mbeleni

Hip Hop, in its purest form, has always been a language of resistance. In the Bronx in the seventies, verbal battles served as a slick substitute for violence, and the quickest minds and mouths came out on top. Since then, emcees have been wielding that language to resist intolerance/injustice/inequalities. The first step to resisting wrongs [...]

3 Comments